Posts

Showing posts with the label Egypt

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist

Image
Egypt international Mohamed Salah is in line to retain  his African Player of the Year award  after being named on a three-man shortlist along with Liverpool team-mate Sadio Mane of Senegal and Arsenal's Gabon striker Pierre-Emerick Aubameyang. Salah,  who was named the BBC's African Footballer of the Year for a second time in December,  won the Confederation of African Football (Caf) award last year. It was an identical shortlist with Salah emerging as the winner. This year's ceremony will be held at an awards gala on 8 January in Dakar, Senegal. Nigeria's Asisat Oshoala won last year's Women's Player of the Year award The women's shortlist has also been revealed with Nigeria duo Asisat Oshoala and Francisca Ordega, and South Africa's Thembi Kgatlana making the final three. Oshoala has won the last two Caf awards and three in total, and along with Ordega helped the Super Falcons  win the Women's Africa Cup of Nations in 2018. Kga...

Mohamed Salah: Egypt forward scores last-minute winner against Tunisia

Image
Mohamed Salah scored a last-minute winner as Egypt beat Tunisia 3-2 in Africa Cup of Nations qualifying. The Liverpool forward played a one-two with Salah Mohsen before clipping the ball over keeper Farouk Ben Mustapha for his 39th international goal. He has now scored in each of his past eight international matches. Naim Sliti scored twice for Tunisia, either side of goals from Trezeguet and Baher El Mohamady. Both sides have already qualified for Afcon 2019. The tournament will be hosted in Cameroon from 15 June to 13 July, a change from the usual January/February schedule.

Al Masry fined by CAF for fan behavior

Image
The club received an official note from the Egyptian Football Federation informing them of CAF’s decision to impose a five thousand dollar fine on the club following their fans’ actions after their match against  USM Alger  in the first leg of the quarter-final  CAF Confederations Cup . The referee’s post-match report indicated that the crowd threw bottles on the pitch after the final whistle. The Egyptian club won the first and second leg of the quarter-final against  USM Alger  1-0, proceeding to the semi-finals where they lost 4-0 against AS Vita Club. Al Masry’s players caused damage after the match against AS Vita as well, leaving the dressing room wrecked following their loss. AS Vita fans were seen throwing stones at Al Masry’s bench, one which left a nasty cut on former manager Hossam Hassan’s forehead. After the match, Al Masry staff claimed the referee asked for a bribe to let them beat the Congolese outfits. Both clubs are expected to be...