Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist

Salah

Egypt international Mohamed Salah is in line to retain his African Player of the Year award after being named on a three-man shortlist along with Liverpool team-mate Sadio Mane of Senegal and Arsenal's Gabon striker Pierre-Emerick Aubameyang.
Salah, who was named the BBC's African Footballer of the Year for a second time in December, won the Confederation of African Football (Caf) award last year.
It was an identical shortlist with Salah emerging as the winner.
Asisat Oshoala
Nigeria's Asisat Oshoala won last year's Women's Player of the Year award
The women's shortlist has also been revealed with Nigeria duo Asisat Oshoala and Francisca Ordega, and South Africa's Thembi Kgatlana making the final three.
Oshoala has won the last two Caf awards and three in total, and along with Ordega helped the Super Falcons win the Women's Africa Cup of Nations in 2018.
Kgatlana was the Most Valuable Player and top-scorer at the Nations Cup as Banyana Banyana narrowly lost out to Nigeria on penalties in the final.
Men's African Player of the Year:
  • Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon)
  • Sadio Mane (Senegal)
  • Mohamed Salah (Egypt)
Women's African Player of the Year:
  • Thembi Kgatlana (South Africa)
  • Francisca Ordega (Nigeria)
  • Asisat Oshoala (Nigeria)

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt