Posts

Showing posts with the label Senegal

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Papy Djilobodji: Senegal defender signs for struggling Guingamp

Image
Senegal defender Papy Djilobodji has signed a deal with French club Guingamp until the end of the season. Djilobodji, 30, was a free agent after  his contract with Sunderland was terminated in September 2018. Guingamp confirmed the Teranga Lion had signed a six-month contract and that the player wants to help the top flight club "stay in Ligue 1 at the end of the season." The French team are currently  bottom of the standings. Djilobodji, who signed for Sunderland from Chelsea  in August 2016, has previous experience of Ligue 1 football, having played for both Dijon and Nantes. He joins former Sunderland team-mate Didier Ndong at Guingamp after  the Gabon international joined the French outfit last week.