Posts

Showing posts with the label KENYA

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Kenya file late appeal over Women's Nations Cup exclusion

Image
Kenya's Football Federation (FKF) says it has filed an appeal to the Court of Arbitration for Sport (CAS) on Wednesday, in a late bid to reverse their exclusion from the Women's Africa Cup of Nations, which starts on Saturday. On 18 October,  Equatorial Guinea were banned for using an ineligible player  in qualifying, with Kenya replacing them at Ghana 2018. But a Confederation of African Football (Caf) tribunal overturned that punishment on 7 November, reinstating Equatorial Guinea. "They included us in the draw and in the fixtures, so we prepared our team," FKF president Nick Mwendwa told BBC Sport. "For them to make a decision nine or 10 days to the event, is why we are in the problem we are in. "If they came back to us one month ago, then we would have had enough time - but they did not," said Mwendwa. Kenya  had announced an appeal last Thursday  but, on Tuesday this week, CAS confirmed to the BBC that they had not received it. Wit...