Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Al Masry fined by CAF for fan behavior



The club received an official note from the Egyptian Football Federation informing them of CAF’s decision to impose a five thousand dollar fine on the club following their fans’ actions after their match against USM Alger in the first leg of the quarter-final CAF Confederations Cup.
The referee’s post-match report indicated that the crowd threw bottles on the pitch after the final whistle. The Egyptian club won the first and second leg of the quarter-final against  1-0, proceeding to the semi-finals where they lost 4-0 against AS Vita Club.
Al Masry’s players caused damage after the match against AS Vita as well, leaving the dressing room wrecked following their loss. AS Vita fans were seen throwing stones at Al Masry’s bench, one which left a nasty cut on former manager Hossam Hassan’s forehead. After the match, Al Masry staff claimed the referee asked for a bribe to let them beat the Congolese outfits.
Both clubs are expected to be fined by CAF once more.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire