Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Tanzania Vs Uganda Cranes: Desabre defends team selection



AFCON 2019 Group L Qualifiers
  • Sunday, 24th March 2019
  • Tanzania Taifa Stars Vs Uganda Cranes
  • At National Stadium, Dar es salaam (6 PM)
After confirming the final 24 man team that will camp in Egypt for a week before the final group L qualifier away in Dar es Salaam, Uganda Cranes head coach Sebastien Desabre defended the team selection.
Addressing journalists moments after the team’s 4-0 win over Kampala Region Select team, the Frenchman hinted of factors considered for the team selection.
After the test match, he officially released the team of home based players (10) who travelled to Egypt for the training camp.
He talked of experience, departmental demand and current form as the three major factors considered;

KCCA Football Club youngster Allan Okello and Vipers’ defender Halid Lwaliwa are the rookies on the main stream team.
Okello is a graduate from the youth structures having represented the country at the U-20 and U-23 levels.
Halid Lwaliwa was a regular on the CHAN team but had not yet got a break through to the senior team.
Other locally based players on the team are tried and tested. Timothy Denis Awany, Allan Kyambadde, Ibrahim Sadam Juma, Henry Patrick Kaddu, Tadeo Lwanga and Moses Waiswa have been part of the team in the past.
Desabre named two players currently unattached to any club – Geofrey Walusimbi and Hassan Wasswa Mawanda.
© Kawowo Sports |Despite being unattached to any club Godfrey ‘Jajja Walu’ Walusimbi and Hassan Wasswa Mawanda made the final team to Egypt
He saluted the character of players worked with during the week-long training, many of whom he believes shall be part of the team in the nearby future.
We had an amazing week of training with the locally based players at Lugogo. There was good character shown. You look at players as Daniel Sserunkuma, Bright Anukani and others. They are to be considered in the future.
Desabre, Uganda Cranes head coach
© Kawowo Sports | JOHN BATANUDDEAllan Okello
During the 4-0 win over Kampala region select, Dan Sserunkuma scored twice before Okello and Anukani each netted a goal.
© Kawowo Sports |Dan Muzeyi Sserunkuma battles for the ball with Kampala’s Ismael Bugembe (PHOTO: John Batanudde)
The team departed from Entebbe International Airport on Sunday at 5:15 pm.
The local legion shall join the other 14 foreign based players in Egypt for the training camp where they will also play a trial game on Wednesday.
Uganda Cranes will lock horns with Tanzania on Sunday, 24th March 2019.
The final team for Ismaily Camp:
Goalkeepers: Denis Onyango (Mamelodi Sundowns, South Africa), Salim Magoola (Al Hilal, South), Robert Odongkara (Adama City, Ethiopia)
Defenders: Murushid Jjuuko (Simba, Tanzania), Timothy Awany (KCCA, Uganda), Halid Lwaliwa (Vipers, Uganda), Geofrey Walusimbi (Free Agent), Joseph Ochaya (TP Mazembe, DR Congo), Kirizestom Ntambi (Ethiopian Coffee), Nico Wakiro Wadada (Azam, Tanzania)
Midfielders: Khalid Aucho (Churchhill brothers, India), Hassan Wasswa Mawanda (Free Agent), Tadeo Lwanga (Vipers, Uganda), Ibrahim Sadam Juma (KCCA, Uganda), Moses Waiswa (Vipers, Uganda), Moses Opondo (Vendsyssel FF, Denmark)
Forwards: Faruku Miya (Gorica, Croatia), Emmanuel Arnold Okwi (Simba, Tanzania), Allan Kyambadde (KCCA, Uganda), Allan Okello (KCCA,Uganda), Edrisa Lubega (SV Ried, Austria), Muhammad Shaban (Raja Casablanca, Morocco), Henry Patrick Kaddu (KCCA, Uganda), Milton Karisa (MC Oujda, Morocco)

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist