Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Tanzania Vs Uganda Cranes: Desabre defends team selection
Addressing journalists moments after the team’s 4-0 win over Kampala Region Select team, the Frenchman hinted of factors considered for the team selection.
After the test match, he officially released the team of home based players (10) who travelled to Egypt for the training camp.
He talked of experience, departmental demand and current form as the three major factors considered;
KCCA Football Club youngster Allan Okello and Vipers’ defender Halid Lwaliwa are the rookies on the main stream team.
Okello is a graduate from the youth structures having represented the country at the U-20 and U-23 levels.
Halid Lwaliwa was a regular on the CHAN team but had not yet got a break through to the senior team.
Other locally based players on the team are tried and tested. Timothy Denis Awany, Allan Kyambadde, Ibrahim Sadam Juma, Henry Patrick Kaddu, Tadeo Lwanga and Moses Waiswa have been part of the team in the past.
Desabre named two players currently unattached to any club – Geofrey Walusimbi and Hassan Wasswa Mawanda.
He saluted the character of players worked with during the week-long training, many of whom he believes shall be part of the team in the nearby future.
We had an amazing week of training with the locally based players at Lugogo. There was good character shown. You look at players as Daniel Sserunkuma, Bright Anukani and others. They are to be considered in the future.
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Still only 21, the combative midfielder is not definitely destined to leave the San Siro in January, especially if Chelsea loanee Tiemoue Bakayoko continues playing in the same manner he has started the season. According to Tuttomercato however, West Ham are planning on testing Milan’ reserve with a €35million offer in 2019. The Hammers have seen their first team hit by an injury crisis, with their already thin midfield options getting desperately low. Mark Noble’s red card at Leicester City means he joins Jack Wilshere, Carlos Sanchez, and Manuel Lanzini in the stands – with winger Robert Snodgrass and young centre half Declan Rice finishing the game in centre midfield at the King Power.
Egypt international Mohamed Salah is in line to retain his African Player of the Year award after being named on a three-man shortlist along with Liverpool team-mate Sadio Mane of Senegal and Arsenal's Gabon striker Pierre-Emerick Aubameyang. Salah, who was named the BBC's African Footballer of the Year for a second time in December, won the Confederation of African Football (Caf) award last year. It was an identical shortlist with Salah emerging as the winner. This year's ceremony will be held at an awards gala on 8 January in Dakar, Senegal. Nigeria's Asisat Oshoala won last year's Women's Player of the Year award The women's shortlist has also been revealed with Nigeria duo Asisat Oshoala and Francisca Ordega, and South Africa's Thembi Kgatlana making the final three. Oshoala has won the last two Caf awards and three in total, and along with Ordega helped the Super Falcons win the Women's Africa Cup of Nations in 2018. Kga...
Comments
Post a Comment