Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Tanzania Vs Uganda Cranes: Desabre defends team selection
Addressing journalists moments after the team’s 4-0 win over Kampala Region Select team, the Frenchman hinted of factors considered for the team selection.
After the test match, he officially released the team of home based players (10) who travelled to Egypt for the training camp.
He talked of experience, departmental demand and current form as the three major factors considered;
KCCA Football Club youngster Allan Okello and Vipers’ defender Halid Lwaliwa are the rookies on the main stream team.
Okello is a graduate from the youth structures having represented the country at the U-20 and U-23 levels.
Halid Lwaliwa was a regular on the CHAN team but had not yet got a break through to the senior team.
Other locally based players on the team are tried and tested. Timothy Denis Awany, Allan Kyambadde, Ibrahim Sadam Juma, Henry Patrick Kaddu, Tadeo Lwanga and Moses Waiswa have been part of the team in the past.
Desabre named two players currently unattached to any club – Geofrey Walusimbi and Hassan Wasswa Mawanda.
He saluted the character of players worked with during the week-long training, many of whom he believes shall be part of the team in the nearby future.
We had an amazing week of training with the locally based players at Lugogo. There was good character shown. You look at players as Daniel Sserunkuma, Bright Anukani and others. They are to be considered in the future.
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Super Eagles Technical Adviser Gernot Rohr has again left out captain Mikel John Obi from next month's crucial 2019 Africa Cup of Nations (AFCON) qualifier against South Africa after he named a 23-man squad for the encounter. China-based Mikel Obi, who made his debut for the country in 2005, has not played for the team since the World Cup in Russia in June, where he led as captain. Officials have said the former Chelsea star was previously left out of the squad to allow him time to recover from niggling injuries. But he has since fully recovered and is now playing regularly for his Chinese club, Tianjin Teda. In the meantime, Rohr has recalled Sporting Charleroi striker Victor Osimhen and midfielder Mikel Agu, who is based in Portugal. Villarreal young forward Samuel Chukwueze has been handed his first call-up. Nigeria play South Africa in Johannesburg on Nov. 17 in a crucial qualifying encounter. The country's national team top Group E with nine points from fo...
Belgium striker Romelu Lukaku, 25, is considering his future at Manchester United after becoming frustrated with manager Jose Mourinho. (Sun) Mourinho says Manchester United have no chance of winning the Premier League title soon if Manchester City and Liverpool keep spending. (Mirror) Paris St-Germain were ready to sell either Brazil striker Neymar, 26, or France forward Kylian Mbappe, 19, to avoid Financial Fair Play sanctions. (L'Equipe - in French) But PSG have denied the story and accused L'Equipe of a vendetta against the club. (PSG - in French) 'The banker who became Chelsea boss' Maurizio Sarri's journey to the Premier League Ajax midfielder Frenkie de Jong, 21, wants to join PSG over Manchester City this summer, and the French side are prepared to pay 75m euros (£67m) to sign the Netherlands international. (De Telegraaf - in Dutch) Wolves...
Comments
Post a Comment