Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Asamoah Gyan: Ghana captain left out of squad for Afcon qualifier against Kenya

Ghana and Kayserispor's Asamoah Gyan

Ghana captain Asamoah Gyan has been left out of coach Kwesi Appiah's 24-man squad to face Kenya in an Africa Cup of Nations qualifier in Accra on 23 March.
Gyan has struggled for playing time at his club Kayserispor in Turkey this season due to injuries.
The 33-year-old striker, who played for 27 minutes in the 3-0 defeat away to Rizespor in the Super Lig on Sunday, was part of the Blacks Stars squad for their 2-0 win over Ethiopia in Addis Ababa in November 2018 but was an unused substitute.
Coach Appiah has also recalled striker Kwesi Appiah, his namesake, after a four-year absence.
The 28-year-old last played for Ghana in the 2015 Africa Cup of Nations final against Ivory Coast, a game the Black Stars lost 9-8 on penalties.
Although he was recalled three years ago, the former Crystal Palace striker missed the match against Mozambique in Accra due to a knee injury.
Appiah has scored four goals in 18 appearances for AFC Wimbledon in England's League One.
There are six uncapped players in Appiah's squad, including three from local top tier side Asante Kotoko, along with Belgium-based Joseph Aidoo, Portugal-based Alhassan Wakaso and Turkey-based Caleb Ekuban.
Established names such as the Ayew brothers of Andre and Jordan, Christian Atsu, Kwadwo Asamoah, John Boye, Thomas Partey and Mubarak Wakaso are in the squad.
Ghana squad:
Goalkeepers: Richard Ofori (Martizburg, South Africa), Lawrence Ati (Sochaux, France), Felix Annan (Asante Kotoko)
Defenders: Kwadwo Asamoah (Inter Milan, Italy), Lumor Agbenyenu (Göztepe SK, Turkey), Andy Yiadom (Reading FC, England), Amos Frimpong (Asante Kotoko), Nuhu Kassim (Hoffenheim, Germany), Nicholas Opoku (Udinese, Italy), John Boye (Metz, France), Joseph Aidoo (Genk, Belgium)
Midfielders: Andre Ayew (Fenerbahçe, Turkey), Mubarak Wakaso (Deportivo Alaves, Spain), Christian Atsu (Newcastle, England), Kwame Bonsu (Asante Kotoko), Ernest Asante (Al Jazira, UAE), Thomas Partey (Atlético Madrid, Spain), Alhassan Wakaso (Vitória Guimarães, Portugal), Jeffery Schlupp (Crystal Palace, England), Alfred Duncan (Sassuolo, Italy)
Forwards: Caleb Ansah Ekuban (Trabzonspor, Turkey), Jordan Ayew (Crystal Palace, England), Emmanuel Boateng (Dalian Yifang, China), Kwesi Appiah (AFC Wimbledon, England)

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist