Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Nigeria team

Nigeria's Football Federation (NFF) says the friendly against Egypt in March will take place at the Stephen Keshi Stadium in Asaba, Delta State, southern Nigeria.
The Egypt FA had confirmed on 20 December that the Pharaohs would play the Super Eagles after Egypt's final 2019 Africa Cup of Nations qualifier in Niger.
After finalising details with the Delta State Government, the NFF concluded that the fixture, set for 26 March, will take place at the ground named after the country's most successful coach, Stephen Keshi.
It comes four days after Nigeria's Nations Cup game with visiting Seychelles at the same venue.
Nigeria, the three-time African champions, last played in Asaba six weeks ago when they were held to a 0-0 friendly draw by the Cranes of Uganda.
Africa's most decorated nation Egypt and Nigeria met in 2017 Nations Cup qualifying with The Pharaohs earning a 1-1 draw away from home before winning 1-0 in Alexandria to qualify for the finals ahead of the Super Eagles.
It will be the 18th meeting between the two sides with Nigeria holding the upper-hand having won seven times to Egypt's five with another five matches drawn.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist