Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Africa Cup of Nations: Sierra Leone disqualified from 2019 qualifiers

The Confederation of African Football logoThe Confederation of African Football logo
Sierra Leone have been disqualified from the 2019 Africa Cup of Nations qualifying campaign because of government interference in the country's football association.
It means Kenya and Ghana qualify for next year's Nations Cup finals from Group F.
Sierra Leone were suspended from all football by Fifa in October and an investigation was launched.
They have not played any qualifying matches since that ban.
The ban was imposed after the country's anti-corruption commission (ACC) barred Sierra Leone Football Association president Isha Johansen and general secretary Christopher Kamara from the governing body's offices. Both deny any wrongdoing.
The Confederation of African Football (Caf), which made the decision on Friday, confirmed in a statement on Monday that all Sierra Leone's matches during the qualifying campaign are now "annulled."
With one match remaining in the 2019 Africa Cup of Nations qualifying campaign, Kenya are top of Group F on seven points from three matches, with Ghana a point behind.
Ethiopia are third on one point from four games and cannot now qualify.
Caf is looking for new hosts for the 2019 Nations Cup after confirming on Friday that Cameroon had been stripped of hosting rights for next year's showpiece event.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist