Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Uganda Cranes intensify training drills prior to Cape Verde clash | AFCON 2019 Qualifiers
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Uganda Cranes players intensified training at Namboole Stadium (Photo: John Batanudde)
The Uganda Cranes team preparing for the AFCON 2019 group L qualifier against Cape Verde has intensified training drills at the Mandela National Stadium, Namboole.
Issues concerning physical and mental fitness for players have been polished ahead of the big duel.
There are barely 48 hours to the kick off of the match where Uganda Cranes need a point to seal the AFCON 2019 slot.
The team training session on Thursday will be conducted under closed doors following Wednesday morning session at Namboole.
Head coach Sebastien Desabre, the physical trainer Gerome D’Antonio, assistant coach Mathias Lule as well as the goalkeeping coach Fred Kajoba are closely monitoring the players.
Uganda Cranes head coach Sebastien Desabre (second left) communicates to the players. Photo by John Batanudde
On Friday morning, the team captain Denis Onyango as well as the coach (Desabre) will address the media at Namboole Stadium board room for at least 30 minutes before the final training session.
Cape Verde who arrive on Thursday afternoon aboard Emirate Airlines will train on Friday evening.
Uganda Cranes only need a point from the remaining two matches against Cape Verde and Tanzania to seal a slot to the 2019 AFCON finals in Cameroon.
For the first time, the AFCON finals will be played in June with an increased number of countries (24) taking part.
Cameroon are the defending champions.
Uganda Cranes players in a ball work session at Namboole Stadium (Photo: John Batanudde)
Full Team in Residential camp at Kabira Country Club, Bukoto:
Goalkeepers: Denis Onyango (Mamelodi Sundowns, South Africa), Jamal Salim (Al Hilal, Sudan), Charles Lukwago (KCCA FC, Uganda), Nicholas Sebwato (Onduparaka FC, Uganda)
Right Back: Nico Wakiro Wadada (Azam FC, Tanzania)
Left backs: Godfrey Walusimbi (Kaizer Chiefs, South Africa), Isaac Muleme (Haras El Hodood, Egypt), Joseph Ochaya (TP Mazembe),
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...
Super Eagles Technical Adviser Gernot Rohr has again left out captain Mikel John Obi from next month's crucial 2019 Africa Cup of Nations (AFCON) qualifier against South Africa after he named a 23-man squad for the encounter. China-based Mikel Obi, who made his debut for the country in 2005, has not played for the team since the World Cup in Russia in June, where he led as captain. Officials have said the former Chelsea star was previously left out of the squad to allow him time to recover from niggling injuries. But he has since fully recovered and is now playing regularly for his Chinese club, Tianjin Teda. In the meantime, Rohr has recalled Sporting Charleroi striker Victor Osimhen and midfielder Mikel Agu, who is based in Portugal. Villarreal young forward Samuel Chukwueze has been handed his first call-up. Nigeria play South Africa in Johannesburg on Nov. 17 in a crucial qualifying encounter. The country's national team top Group E with nine points from fo...
Belgium striker Romelu Lukaku, 25, is considering his future at Manchester United after becoming frustrated with manager Jose Mourinho. (Sun) Mourinho says Manchester United have no chance of winning the Premier League title soon if Manchester City and Liverpool keep spending. (Mirror) Paris St-Germain were ready to sell either Brazil striker Neymar, 26, or France forward Kylian Mbappe, 19, to avoid Financial Fair Play sanctions. (L'Equipe - in French) But PSG have denied the story and accused L'Equipe of a vendetta against the club. (PSG - in French) 'The banker who became Chelsea boss' Maurizio Sarri's journey to the Premier League Ajax midfielder Frenkie de Jong, 21, wants to join PSG over Manchester City this summer, and the French side are prepared to pay 75m euros (£67m) to sign the Netherlands international. (De Telegraaf - in Dutch) Wolves...
Comments
Post a Comment