Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Qualified teams continue Nations Cup preparation with friendlies

Morocco v Cameroon

Five of the countries who have already booked their places at the Africa Cup of Nations finals will continue preparations for next year's tournament with friendly internationals on Tuesday.
The weekend's penultimate round of qualifiers for Cameroon 2019 might be out of the way but the hosts along with Morocco, Nigeria, Tunisia and Uganda are all using the international window to fit in another fixture.
Cameroon have a glamour game at Milton Keynes where they take on Brazil.
The reigning African champions will be looking to make a big statement ahead of hosting the Nations Cup, but they will be underdogs against the five time World Cup winners after failing to impress since Clarence Seedorf took over as coach.
Cameroon suffered a 2-0 loss away against Morocco in Casablanca on Friday and have won one of four matches since the arrival of the former Dutch international.
Morroco also play on Tuesday, against fellow north Africans Tunisia at the Rades Stadium on the outskirts of the Tunisian capital, but must do without Hakim Ziyech, who scored the two goals against Cameroon last weekend.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire