Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Prolific Striker Emma Okwi Headlines Uganda 30-Man Roster For Friendly Against

 Prolific Striker Emma Okwi Headlines Uganda 30-Man Roster For Friendly Against Nigeria
Uganda head coach Sebastien Desabre has announced a 30-man roster ahead of their 2019 Africa Cup of Nations qualifier against Cape Verde and the international friendly against Nigeria.

The Cranes will head to Asaba to face the Super Eagles on November 20, three days after their match day five AFCONQ against the Blue Sharks.

Uganda will qualify for their seventh Africa Cup of Nations if they avoid defeat to Cape Verde in their next international fixture at Mandela National Stadium, Namboole.

Sixteen foreign-based professionals have been called up including prolific Simba SC striker Emmanuel Okwi, Mamelodi Sundowns goalkeeper Denis Onyango and Cape town City midfielder Allan Kateregga.

The non residential training programme will start on 9th November with 14 local based players at Lugogo.

Uganda Squad

Goalkeepers (4): Denis Onyango (Mamelodi Sundowns), Jamal Salim (El Meriekh), Charles Lukwago (KCCA FC), Nicholas Sebwato (Onduparaka FC)

Defenders (11): Isaac Isinde (Kirinya Jinja SS), Murushid Juuko (Simba SC), Timothy Awanyi (KCCA FC), Denis Iguma (Kazma FC), Nicholas Wadada (Azam FC), Godfrey Walusimbi (Kaizer Chiefs), Isaac Muleme (Haras El Hodood), Bernard Muwanga (KCCA FC), Yayo Kato Lutimba (Vipers SC), Joseph Benson Ochaya (TP Mazembe), Hassan Wasswa Mawanda (El Geish)

Midfielders (9): Khalid Aucho (Church Hill Brothers, India), Ibrahim Saddam Juma (KCCA FC), Tadeo Lwanga (Vipers SC), Allan Kateregga (Cape Town City), Farouk Miya (Gorica FC), Ambrose Kirya (SC Villa), Moses Waisswa (Vipers SC), Milton Karisa (MC Oujda), Allan Kyambadde (KCCA FC)

Strikers (6): Dan Serunkuma (Vipers SC), Vianne Sekajugo (Onduparaka FC), Emma Okwi (Simba SC), Edrisa Lubega (SV Ried), Derrick Nsibambi (Smouha FC), Patrick Kaddu (KCCA FC)



Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire