Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Nigerian Fans to Pay N1,500 for Bafana Bafana-Eagles AFCON Qualifier



Nigerian soccer fans hoping to watch the Super Eagles take on South Africa on November 17 will have to pay at least N1,500 for tickets to watch the Cup of Nations qualifier at FNB Stadium, Johannesburg.
Though South Africa Football Association (SAFA) earlier announced that ticket prices would be subsidised for the game, their reduced fees might still appear rather high when converted to Naira.
Footballlive.ng learnt as much from reports out The Rainbow Nation, which confirmed that cheapest tickets for the match will be 60 rands, about N1,500; but children under age 12 will pay 10 rands (N250).
After losing the first leg 2-0 in Uyo, Eagles will be out for revenge on November 17 in the Group E reverse fixture against Bayana Bayana, for which tickets have gone on sale at centres across South Africa.
Gambian referee, Bakary Papa Gassama will be in charge of the match day 5 fixture at the famous ‘Soccer City’ in Soweto.
The 39-year-old ref is regarded among the best on the continent and was among a few Africans selected for the FIFA World Cup in Russia.
Gassama also handled Nigeria’s 3-1 victory over Algeria in Uyo during the 2018 World Cup qualifiers.
Nigeria currently leads the group with 9 points from four matches, one ahead of South Africa, who have 8 points from same number of games.
The Super Eagles need just a point to qualify whilst South Africa need all three points to end the hopes of Libya making it to Cameroon 2019.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

KESS OF LIFE West Ham United transfer news: Manuel Pellegrini wants €35m-rated Ivory Coast international Franck Kessie to solve midfield woes – reports

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist