Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

I deserve the chance to represent Ghana next month - Enugu Rangers shot-stopper Nana Bonsu

I deserve the chance to represent Ghana next month - Enugu Rangers shot-stopper Nana Bonsu
Ghana and Enugu Rangers goalkeeper Nana Bonsu has revealed he deserves a national team call-up ahead of the upcoming 2019 Africa Cup of Nations (Afcon) qualifier against Ethiopia. 
Bonsu, 29, guided the Rangers to win the Aiteo Cup final against Kano Pillars last weekend after saving two penalties during the shootout.
"I've been doing my best and I think I deserve this chance to represent Ghana next month," the shot-stopper told Goal.
"There are equally good goalkeepers around but since the call-up is solely based on form, I believe the coaching staff must give me the opportunity. At least, everyone in Nigeria is aware of my heroics and I need to be rewarded.
"With Ghana in a dire need of three points against Ethiopia to qualify for the Africa Cup of Nations, I think my presence will help. Kwesi Appiah must give me a chance. This is my time and I promise to do my best when given the opportunity," he added.
Currently, Ghana is 3rd in Group F of the qualifiers with three points, four points behind table-toppers Kenya.
The experienced the goalkeeper was part of the AshantiGold squad that won the 2016 Ghana Premier League.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire