Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Hosts Ghana and Cameroon win on opening day of AWCON

Ghana are hosting the Women's Africa Cup of Nations for the first time

Host nation Ghana won the opening match of this year's Women's Africa Cup of Nations when beating Algeria 1-0 in Accra.
The Black Queens took the lead in the twelfth minute as Gladys Amfobea pounced upon a defensive error to fire home a fierce shot.
Algeria settled after the goal and began to push forward but were restricted to long-range efforts and set-pieces that never really threatened an equaliser.
Ghana, who are seeking a first title after being runners-up three times, meet Mali in Group A on Wednesday, when Algeria face Cameroon.
The Cameroonians are four-time losing finalists but started their campaign with a come-from-behind 2-1 win against Mali.
Malii took the lead 10 minutes after the break when Aissata Traore fired home on her first senior start before Cameroon, who finished runners-up when hosting in 2016, hit back with two goals in two minutes.
The first came as Falon Meffometou scored amidst a melee before Nchout Ajara, who boasts 15 goals and 6 assists in 19 games for Swedish side IL Sandviken, sidefooted home from close range.
The top three teams at this year's Nations Cup will qualify for next year's Women's World Cup in France.
Nigeria, the defending champions, play their opening Group B game against South Africa in Cape Coast where Zambia will face Equatorial Guinea.
The latter were only reinstated to the tournament at short notice after winning an appeal against their earlier exclusion.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire