Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

GERNOT ROHR: NIGERIA TO QUALIFY FOR 2019 AFCON IN SOUTH AFRICA

Image result for gernot rohr

Nigeria head coach Gernot Rohr believes that his side can secure either a draw or win against South Africa to qualify for the 2019 Africa Cup of Nations (AFCON).

The Super Eagles are currently placed at the top of Group E standings with nine points and they will face Bafana Bafana on 17 November in Johannesburg, South Africa. 

A draw or win for Nigeria in South Africa will be enough to secure the West African giants' place in the finals which will be hosted by Cameroon.

“We want to qualify from this group if possible in the next game away to South Africa in Johannesburg which means we will do the same thing that we did for the qualification for the 2018 World Cup held in Russia that is to be qualified for the 2019 Africa Cup of Nations before our last match is played against Seychelles in Nigeria,” brila.net quoted Rohr as saying. 

“If we have a point in South Africa we have qualified even if Libya win in Seychelles and also win at home against South Africa, Libya will get 10 points. ”With our 10 points, we will still qualify for 2019 Afcon. But our ambition and resolve is to win in South Africa but a draw would be enough.”

Nigeria will be seeking revenge because Bafana beat them 2-0 at home in Group E match last year.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

KESS OF LIFE West Ham United transfer news: Manuel Pellegrini wants €35m-rated Ivory Coast international Franck Kessie to solve midfield woes – reports

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist