Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

EXTRA TIME: African fans look forward to the Caf Champions League final



Al-Ahly hosts Esperance in the first leg of Africa's biggest club competition on Friday night
The continent's most successful club in Caf Inter-Club competitions, Al-Ahly is ready to set a marker in Friday's first leg at the Borg El Arab Stadium.
The Egyptian club will be looking to open up a gap before they face the Tunisians away next Friday night at the Stade Olympique de Rades.
The winner of this two-legged tie will represent Africa at the Fifa Club World Cup in UAE next month. Al-Ahly want to set the record straight after finishing runners-up in the last two seasons.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

KESS OF LIFE West Ham United transfer news: Manuel Pellegrini wants €35m-rated Ivory Coast international Franck Kessie to solve midfield woes – reports

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist