Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

'Do not lose against Tanzania': Museveni to Uganda Cranes

'Do not lose against Tanzania': Museveni to Uganda Cranes
Uganda’s president Yoweri Museveni has instructed the national football side not to lose a match against Tanzania, even if the Cranes have already qualified for next year’s African Cup of Nations (Afcon).
Museveni, who was hosting the national team captain Denis Onyango and the football federation president, Moses Magogo, congratulated the team upon achieving qualification to the continent’s biggest football tournament.
‘‘Even if the Cranes have already qualified, I know that they still have a game to play against Tanzania. Please make sure you do not lose that game,’‘ Museveni urged.
Even if the Cranes have already qualified, I know that they still have a game to play against Tanzania. Please make sure you do not lose that game.
Uganda sealed its place at the tournament in Cameroon next year, with a 1-0 win against Cape Verde over the weekend.
Tanzania, who lost to Lesotho on Sunday, must win the last qualification match against Uganda in order to secure a place at Afcon 2019.
Tanzania (5 points), Lesotho (5 points) and Cape Verde (4 points) all still have a chance at qualifying alongside Uganda (13 points) from Group L.

Museveni’s tips to Uganda Cranes

The president, who has actively supported the Uganda Cranes throughout this qualification campaign, also tipped the players on training, diet and positive habits.
‘‘From my footballing experience, I know that the following ingredients are important for the game; stamina, skill and teamwork,’‘ said the president.
‘‘Stamina is critical because you do a lot of running. You must eat well, exercise and avoid alcohol, smoking and womanizing.’‘
Training is very important. Africans are very strong naturally. If you train well, you can dominate the sports world. The potential exists, what is critical is harnessing it through training.
67 people are talking about this
The president also pledged to deal with corruption in the sports sector, before embarking on building and repair of stadia.
SUGGESTED READING: Mauritania secures historic Afcon qualification: who else is going to Cameroon?










Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire