Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Cameroon name Bayern Munich's Franck Evina in U-23 squad


Bayern Munich forward Franck Evina has been named in Cameroon's U-23 squad for their upcoming Africa Cup of Nations qualifiers against Chad later this month.
The 18-year-old, who signed a three-year contract with Bayern in May, is among 11 foreign-based players included by coach Rigobert Song.
Also on the list is Belgium's Royal Excel Mouscron midfielder Frank Boya, who was part of Cameroon's Africa Cup of Nations-winning squad in Gabon last year.
Cameroon are bidding to take part in next year's Under-23 Africa Cup of Nations scheduled to take place in Egypt in November next year.
If they beat Chad, they will then meet Sierra Leone in a double-header in March 2019, the winner of which will face one of Tunisia, Uganda or South Sudan for a spot in the tournament proper.
Evina, nicknamed 'the Bavarian Hulk', has played for Germany's U-18 national team, although it is still unclear whether he will heed to the call to play for his country of birth.
Evina has netted 26 goals and created 15 assists in 48 matches for Bayern's U-17 squad and could yet be an asset for the Indomitable Lions when they host the senior AFCON on home soil next year.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire