Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Burundi beat South Sudan to keep Afcon hopes alive

Africa Cup of Nations trophy

A hat-trick from Fiston Abdul Razak helped Burundi win 5-2 away to South Sudan on Friday to keep alive their hopes of qualifying for next year's Africa Cup of Nations in Cameroon.
Atak Lual gave the hosts the lead early on with Cedric Amissi hitting an equaliser for Burundi.
Stoke City's Saido Berahino made it 2-1 to Burundi on the stroke of half-time, with Dominic Aboi striking back for the hosts in the second half to make it 2-2 after 59 minutes.
Abdul Razzak, who plays for Algeria's JS Kabylie, then hit his 20-minute hat-trick with goals in the 70th, 89th and 90th minutes to ensure Burundi collected all three points.
The result puts Burundi top of Group C, a point ahead of Mali who are away to Gabon on Saturday, with the group now likely to be decided after the final round of qualifiers next March.
In Alexandria, Egypt beat Tunisia 3-2 courtesy of a 90th minute from Mohamed Salah. Both teams had already qualified for next year's finals.
In Friday's late kick-off, Morocco were scheduled to face 2019 hosts Cameroon in Casablanca in Group B.
Cameroon have already qualified as hosts but a win for Morocco plus a loss or draw for Malawi in Comoros on Saturday would put the Atlas Lions through.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire