Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

Booysen happy with Chiefs' defensive depth

Mario Booysen

Cape Town - Kaizer Chiefs centre-back Mario Booysen believes the club have plenty of options defensively and he defended coach Giovanni Solinas' rotation policy.
Chiefs have used five central defenders this campaign with Daniel Cardoso and Siyabonga Ngezana the most consistent starting pair, having played seven of 15 matches together.
Nonetheless, Booysen, who partnered with Ngezana during last Saturday's 2-1 defeat to Orlando Pirates in the Soweto derby, takes the view that is a plus to have so many options.
He said: "I think, with the amount of quality in our backline, anyone can play at the end of the day because myself, 'Danny' [Cardoso], [Erick] Mathoho, Teenage [Hadebe] and Siya [Ngezana] can all step up, and it's up to the coach who plays.
"I think you can't question that quality. Yes, we've taken a lot of criticism but that mustn't hit our confidence because I believe you can't become a bad player overnight.
"We have to focus on the positives and, you know, we do self-introspection and we know what we have to grow on. And, like I said, you can't question the amount of quality the defenders in the team have, so we just have to keep growing."
Chiefs are set to face SuperSport Unite

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire