Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m...

AFCON 2019: Three-time champions Nigeria are back

Nigeria have qualified for their first Nations Cup since 2013

Nigeria qualified for their first Africa Cup of Nations since winning the tournament in 2013 after drawing 1-1 with South Africa in Johannesburg.
The draw guarantees the three-time African champions a place in Cameroon with a round of matches still to play.
Despite conquering Africa in 2013, the Super Eagles surprisingly failed to qualify for the 2015 and 2017 finals.
Nigeria led through an own goal before South Africa's Percy Tau produced a moment of magic to tee up Lebo Mothiba.
The draw takes the Super Eagles to 10 points in Group E, one ahead of South Africa and three more than Libya who roared back into contention when thrashing the Seychelles 8-1 in Victoria.
Libya will now qualify for the Nations Cup if they beat Bafana Bafana in their final match next March.
Nigeria, meanwhile, finish their campaign at home to the Seychelles who have conceded 22 goals in their five group games and prop up the table with one point.
The Super Eagles' previous Nations Cup triumphs came in 1980, 1994 and 2013.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Nigeria: Afcon Qualifier Squad - Mikel's Name Missing Again

Football gossip: Lukaku, Neymar, Mbappe, De Jong, Jimenez, Maguire