Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Super Eagles To Face Bogey Team Uganda In Friendly To Be Played In

Official : Super Eagles To Face Bogey Team Uganda In Friendly To Be Played In Asaba November 20

Uganda have confirmed an international friendly against Nigeria to be played at Stephen Keshi Stadium, Asaba on Tuesday 20th November 2018, informs Federation of Uganda Football Associations (FUFA) on their official website.

The Super Eagles will head back to Nigeria to face the Ugandans three days after a crucial Africa Cup of Nations qualifier against South Africa in Johannesburg. 

 ''The Uganda Cranes technical team will make use of the FIFA International break that runs from 12th-20th November by playing a high profile friendly with the former African Champions,''  FUFA Communications Manager Ahmed Hussein stated. 

''Matches between these two soccer giants have always been so close since time immemorial.

''A 30man contingent will depart on 18th November 2018 for the trip to Nigeria. The foreign based players in the contingent will then connect to their respective clubs after the friendly''.

The Cranes of Uganda have become a bogey team for the Super Eagles, having won four of the seven international matches between the two countries, drawing one and losing two. 

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist