Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Rohr Issues Warning To Super Eagles Stars, Names Most Dangerous South Africa

Rohr Issues Warning To Super Eagles Stars, Names Most Dangerous South Africa Player

Gernot Rohr will inform the Super Eagles stars to be wary of Brighton & Hove Albion loanee Percy Tau before his side trade tackles with South Africa in next month's Africa Cup of Nations qualifier in Johannesburg.

Tau showed how lethal he can be after coming off the bench to score against the Super Eagles in Uyo, a minute after coming off the bench as replacement for Tokelo Rantie.

The former Mamelodi Sundowns sensation is South Africa's leading scorer in the Africa Cup of Nations qualifiers with two goals.

Asked which South Africa players he'll warn his team about, Rohr told Kick Off Magazine : ''They are all good, and the whole team plays at a high level. They scored brilliant goals against Seychelles at home.

''I particularly like Percy Tau, who has impressed me, but I know that Keagan Dolly from Montpellier is injured.''

There were photos and videos of empty seats at South Africa’s last home game against Seychelles but Rohr expects fans to troop to the FNB Stadium on November 17 because of the rivalry between the two nations.

''The stadium looked really empty in that Seychelles game, but I expect more fans will come when South Africa faces Nigeria.

''I don’t know how many will come, but I believe there are also many Nigerians who stay in Johannesburg, and we hope many of them will come to support us.

''It is a big rivalry, with two of the biggest African teams meeting each other, and it will be a great game,'' Rohr said.

South Africa's  2-0 win in Uyo was their first victory over the Super Eagles in an official game.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist