Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Kenya to call up players ahead of 2019 AFCON clash against Sierra Leone despite uncertainties



Kenya national team Harambee Stars players are set to assemble next week ahead of the 2019 Africa Cup of Nations qualifiers against unsettled Sierra Leone despite the confusion surrounding their suspension by FIFA.
FKF President Nick Mwendwa who spoke to www.soka25east.com alluded to the fact that they had not received any official communication on the cancellation on the game scheduled for November.
“We will be sending tickets to our players and calling them up for the upcoming fixture against Sierra Leone.From next week coach Sebastian Migne will release his squad according to the plans”
“We have to follow regulations by preparing since we have not got any official communication on Sierra Leone situation and as hosts we must therefore embark on our preparations so that we cannot be caught unawares”Nick Mwendwa said
The Confederation of African Football (CAF)  cancelled the 2019 Africa Cup of Nations (Afcon) Group “F” double-header pitting Sierra Leone and Ghana.
This was  occasioned by Sierra Leone’s failure to meet conditions stipulated in the letter sent by Caf on Fifa’s decision to suspend the federation due to government interference last Friday.
By virtue of the FIFA  suspension, the federation lost all its membership rights with its national teams and affiliated clubs are no longer entitled to take part in international competitions until the suspension is lifted.

Comments

Popular posts from this blog

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Stephen Keshi Stadium confirmed as venue for Nigeria's friendly with Egypt

Caf awards: Aubameyang, Mane and Salah on final shortlist