Posts

Showing posts from November, 2018

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachotarajia kucheza mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda Machi 24,2019.

Image
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti inakabiliwa na mchezo muhimu dhidi ya Uganda wa kufuzu kucheza Fainali za Afrika mwaka huu. Huu ni mchezo ambao kama Taifa Stars itashinda inaweza kukata tiketi ya kucheza AFCON mwaka huu itakayofanyika nchini Misri. Mchezo dhidi ya Uganda utachezwa Jumapili Machi 24,2019 saa 12 jioni kwenye Uwanja wa Taifa. Kocha Mkuu wa Taifa Stars Emmanuel Amunike ametangaza kikosi kitakachopambana kuisaka tiketi hiyo kwenye Uwanja wa nyumbani. Nahodha Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Belgium ataongoza kikosi katika mchezo huo uliobeba imani ya Watanzania. Kocha Amunike amesema Kikosi alichokitaja kimezingatia mambo mengi kuhakikisha Taifa Stars inapata ushindi. Amewataka Watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika kuipeperusha bendera ya Tanzania. Kwa upande wake, Afisa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), George Mango amesema kampuni hiyo imekuwa ikihakikisha kikosi hicho kinafanya maandalizi m

Women’s Africa Cup of Nations: Nigeria to defend title against South Africa

Image
  Nigeria will defend their Women's Africa Cup of Nations title against South Africa on Saturday in the Ghanaian capital Accra. Their respective semi-final wins mean they also clinch places at next year's Women's World Cup in France - where Nigeria will make an eighth appearance and South Africa a first. The Super Falcons needed penalties to beat Cameroon after a goalless 120 minutes, while South Africa beat Mali 2-0 in the other semi-final. Cameroon and Mali must now lift themselves for Friday's third-place play-off that has a World Cup place on offer for the winners. In the first of the semi-finals, which was a repeat of the last two Nations Cup finals, Nigeria and Cameroon cancelled each other out over 120 minutes. The main drama of the match came in the post-match spot kicks with Nigeria scoring with all four of their efforts as Ngozi Ebere scored the decisive penalty. Cameroon were undone by two failed attempts as first star player Gaelle Enganamouit

History of the BBC African Footballer of the Year award

Image
Following the launch of the BBC African Footballer of the Year award, BBC Sport looks at all the previous winners. The prize started life as the BBC African Sports Star of the Year award in 1992, when Ghanaian footballer Abedi Pele was the inaugural winner. The format has evolved and now a shortlist of five players is announced following a poll of football journalists in Africa - after which a public vote decides the best for that year. Names etched on the trophy include Didier Drogba, Jay-Jay Okocha, Yaya Toure and George Weah. This year Medhi Benatia, Kalidou Koulibaly, Sadio Mane, Thomas Partey and 2017 winner Mohamed Salah are all in contention for the award. You can cast your vote here 2017 Mohamed Salah - Egypt and Liverpool (England) Mohamed Salah was the first Egyptian to win the BBC award since 2008 Mohamed Salah became the third Egyptian to win the BBC African Footballer of the Year after a stellar 2017. Following a record number of votes, the Liverp